本
名言
ブログ
Author Program
ログイン
サインアップ
絞り込む: 著者 タグ Submit a Quote

"gath"タグの名言

Palestina ni nchi ya Waisraeli waliyopewa na Mungu wa Yakobo. Hata hivyo, hawakutimiza masharti. Mungu aliwaagiza kuua kila mtu katika nchi ya Kaanani na miji yake yote. Waisraeli, wakiongozwa na Yoshua, waliua watu wengi katika nchi ya Kaanani. Hawakuua kila mtu katika miji ya Ashdodi, Gathi na Ukanda wa Gaza kama walivyoagizwa. Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa angempa yeye na uzao wake nchi ya Kaanani kuwa milki yao ya milele, na kuwa Yeye ndiye angekuwa Mungu wao daima. Vita ya Israeli na Palestina itamalizwa na Mungu. Itamalizwa na hekima.
— Enock Maregesi
タグ: yoshua, yakobo, wisdom, watu, war, waisraeli, vita, uzao, ukanda-wa-gaza, person, people, palestine, palestina, mungu, mtu, milki, milele, masharti, kingdom, kaanani, jacob, israelites, ibrahimu, hekima, god, generation, gaza-strip, gathi, gath, forever, conditions, canaan, ashdodi, abraham
  • サイト概要
  • 問い合わせ
  • 利用規約
  • Community Guidelines
  • プライバシーポリシー
© WSIRN 2025, 東京とバリから ❤を込めて。Amazonアソシエイトの一部として、対象となる購入より収益を得ています。